• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbali Mbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Elimu Sekondari

Wilaya inazo shule 20 za Sekondari zenye jumla ya wanafunzi 3,403 kati yao wasichana ni 1,637 na wavulana ni 1,766.  Idadi ya walimu waliopo ni 356 (wanaume 237 na wanawake 119) kati ya mahitaji ya walimu 394.  Hivyo Wilaya ina upungufu wa walimu 38. Walimu wa sayansi waliopo ni 70, mahitaji ni walimu 160, upungufu ni walimu 90.

Aidha, jumla ya wanafunzi 1,651 (wav. 753, was. 898) walifaulu darasa la saba na kuchaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwezi Januari 2017. 

Katika kuboresha miundombinu mashuleni kwa kipindi cha 2015/2016 jumla ya nyumba 3 (1kwa 6) vyoo 8 na vyumba 4 vya madarasa vimejengwa, katika shule za Msisi, Chonama na Magaga. Nyumba za walimu katika shule za Msisi na Magaga zimekamilika na Chonama ujenzi unaendelea. Pamoja na shule hizo hadi sasa wilaya inazo shule 4 zenye maabara ambazo ni Chikola, Chibelela, Mundemu na Bahi.

Ujenzi wa maabara katika shule za Sekondari uko katika hatua mbalimbali ambapo maabara 5 zimekamilika, 14 hatua ya umaliziaji, 11 hatua ya upauaji, 2 zipo katika hatua ya lenta, 6 hatua ya ukuta, 10 hatua ya msingi, na 12 bado hazijaanza.

 Aidha, Wilaya imeanzisha klabu za wasichana katika shule zote 20 (ishirini) za Sekondari ambazo zimesaidia kupunguza utoro mashuleni na mimba.

Matangazo

  • Tangazo la Siku ya Mazoezi Kitaifa Aprili, 2018 April 12, 2018
  • Tangazo la Zabuni ya Ujenzi wa Mradi wa Usambazaji Maji Shule ya Sekondari Kigwe April 06, 2018
  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji wa Vijiji Wilaya ya Bahi March 24, 2018
  • Mitandao ya Kijamii ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi March 07, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Bahi Yapata Tshs 240 Milioni Mradi wa Maji Kigwe Sekondari

    March 29, 2018
  • MaMEK, Walimu Wakuu waagizwa kusimamia walimu

    March 27, 2018
  • DC Bahi Aongoza Kampeni ya 'Kijanisha' Dodoma

    February 08, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2017 na Matokeo ya Mtihani wa Maarifa (QT)

    January 30, 2018
  • Tazama Zote

Video

RC MAHENGE AZITAKA WILAYA KUAINISHA FURSA ZA UWEKEZAJI DODOMA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Vendor Form
  • Uzinduzi wa Mifumo ya PLANREP na FFARS
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma
  • Tovuti ya Ikulu

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Telephone: +255 26 2961400

    Simu: +255 767 545 154

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Watembeleaji

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. All rights reserved.