• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

20 September 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmahauri ya Wilaya ya Bahi anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wotewalioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 26/09/2024 hadi 01/10/2024 nahatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenyeusaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

  1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe 26/09/2024 hadi 01/10/2024 kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hilimuda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

  2. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

  3. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,

    Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

  4. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI,

    Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

  5. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hati za

    matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NAHAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

  6. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

  7. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

  8. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na

    Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

  9. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhivigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji yatangazo husika.

10. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyetivyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

11. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili nambaya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa siku ya usaili. KUONA ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI GUSA TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 2024.pdf

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI. July 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE.ASHALU KIJAJI WAIZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AZINDUA CHANJO YA MIFUGO WILAYANI BAHI

    July 15, 2025
  • OFISI YA RAIS, MANAGEMENT YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA WATOA MAFUNZO YA UFANYAJI WA TATHIMINI (ASSESMENT) KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI.

    July 08, 2025
  • MHE. JOACHIM THOBIAS NYINGO AFANYA KIKAO CHA KUJADILI MIKAKATI MBALIMBALI YA MAENDELEO KUELEKEA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 KWA IDARA MBALIMBALI NA VITENGO BAADA YA KUPOKEA BILIONI 1.7.

    July 04, 2025
  • MKURUGENZI WA MRADI WA "TUINUKE PAMOJA" CHINI AGHAKAN FOUNDATION WAKISHIRIKIANA NA TGNP ATAMBULISHA MRADI HUO KATIKA MANEJINENTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI.

    July 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa