HALMASHAURI ZAPEWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MIFUMO MIPYA YA PLANREP NA FFARS
Serikali kupitia Mradi wa PS3 imeendesha Mafunzo ya Matumizi ya Mifumo Mipya ya PLANREP na FFARS kwa ajili ya kuboresha na kurahisha upangaji wa Bajeti katika Halmashauri,Zahanati,Vituo vya Afya na Shule za Msingi na Sekondari hapa Nchi. Aidha Mifumo hiyo imetegenezwa na wataalamu wa Tehama kutoka hapa hapa Nchini Tanzania na hivyo kuonesha ni namna gani Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania inavyotoa fursa na kuwaamini wataalamu wake. Mafunzo hayo yamehusisha Maafisa Mipango,Wataalamu wa Tehama,Waganga Wakuu, Waweka Hazina na Makatibu wa Afya.
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
Anuani: S.L.P 2993 DODOMA
Simu: +255 687748878
Simu: +255 687748878
Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa