Imechapishwa: March 19th, 2021
Mhe. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Saalam leo tarehe 19 Machi 2021. Mhe. Suluhu anakuwa rais wa sita k...
Imechapishwa: March 19th, 2021
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 19 Machi 2021 anatarajiwa kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla itakayofanyika Ikul...
Imechapishwa: March 18th, 2021
Benton Nollo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefariki dunia kwa tatizo la moyo la mfumo wa umeme katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiw...