Imechapishwa: May 3rd, 2021
Benton Nollo na Rosemary Celu (DMC), Bahi
Serikali ya Mkoa wa Dodoma imekusanya shilingi bilioni 2.9 kutoka katika sekta ya madini kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo asilimia 90 ya mapato hayo yan...
Imechapishwa: March 19th, 2021
Mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli utazikwa tarehe 26 Machi 2021 nyumbani kwao Chato mkoani Geita.
Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Imechapishwa: March 19th, 2021
Mhe. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Saalam leo tarehe 19 Machi 2021. Mhe. Suluhu anakuwa rais wa sita k...