• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Fomu ya Maombi ya Kutambua na Kurasimisha Mafundi Waliopata Ujuzi Nje ya Mfumo Rasmi wa Mafunzo

24 June 2020

Tafadhali pakua Fomu hiyo kwa kubofya maandishi ya bluu hapa mbele FORM YA MAOMBI YA KUTAMBUA NA KURASIMISHA UJUZI.pdf

Pia, kwa uelewa zaidi soma maelezo yafuatayo hapo chini: -


MPANGO WA UTAMBUZI NA URASIMISHAJI UJUZI

Je wewe ni fundi ambaye hujapitia mafunzo chuoni na hivyo hauna cheti?

Je una uzoefu kwenye fani yako usiopungua miaka mitano?

Je umri wako hauzidi miaka 45?

Je unapata changamoto ya kujiajiri au kuajiriwa kutokana na kutokuwa na cheti cha ujuzi wako?

Je ungependa kuboresha ujuzi wako, utambuliwe na kurasimishwa ili upewe cheti kulingana na ujuzi wako?

Kama ndivyo, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu kwakushirikiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatekeleza awamu ya tatu ya Mpango wa Kutathmini na Kurasimisha Ujuzi uliopatikana Nje ya Mfumo Rasmi wa Mafunzo.

Katika mpango huu unayo fursa ya kufanyiwa tathmini ya ujuzi wako, kupewa mafunzo ya kuziba mapungufu yatakayobainika, kisha kutunukiwa cheti kitakachokusaidia kutambulika kwa ujuzi wako na hivyo kukupa fursa ya kuajiriwa, kujiajiri na kuajiri wengine au kuendelea na mafunzo ya ngazi za juu.

Fani zitakazohusika katika awamu hii ni Uashi, Useremala, Ufundi magari (makenika), Upishi, Uhudumu wa hoteli, baa na migahawa, Ufundi bomba, Unyooshaji bodi za magari, Umeme wa majumbani, Ushonaji na Uchomeleaji vyuma.

Ikiwa unakidhi vigezo vilivyotajwa hapo juu, unahimizwa kuchukua fomu ya maombi bila malipo katika ofisi ya Afisa Vijana/Afisa Maendeleo ya Jamii katika ofisi za Halmashauri iliyo karibu na wewe.

Pia fomu hizo zinapatikana bila malipo katika vyuo vyote vya VETA na katika tovuti zifuatazo:
• www.veta.go.tz

• www.kazi.go.tz

Au bonyeza hapa kupata fomu

Mwisho wa kuwasilisha fomu hizo ni tarehe 25 Juni, 2020.

Mchakato wote wa tathmini na urasimishaji wa ujuzi utagharamiwa na Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira, na Wenye Ulemavu (OWM-KVAU).
Hivyo, washiriki hawatalipia gharama yoyote.


Kwa taarifa zaidi, wasiliana na Mratibu wa Programu hii kwa barua pepe
bwire.ally@veta.go.tz, simu namba 0715 55 55 85

Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu - VETA

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NOTISI YA KUVUNJWA KWA MABARAZA YA MADIWANI KATIKA MAMLAKA ZA WILAYA NA MIJI YATOLEWA NA MHE.MCHENGERWA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YATWAA TUZO YA UBINGWA

    June 15, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI NA KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa