• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI ASISITIZA UMUHIMU WA KILIMO BORA KATIKA SEMINA YA MAFUNZO INAYOLEWA NA FARM AFRICA IKISHIRIKIANA NA WFP

Imechapishwa: November 6th, 2023

Shirika la FARM Africa kwa kushirikiana na shirika la mpango wa chakula duniani (WFP) wanaendelea na utekelezaji wa Miradi ya Kilimo Himilifu cha Mtama (CSAP II) na Vijna Kilimo Biashara (VKB) katika wilaya ya Bahi mkoani Dodoma.

Katika kuendelea kutekeleza shughuli zake, miradi hii iimetoa mafunzo mahususi ya Kuboresha mbinu za kilimo cha mazao ya Alizeti na Mtama (Good Agricultural practices –GAP) ili kuwaweka wakumila tayari kwa msimu kuanza kutumia mbinu bora za kilimo cha mazao hayo . mafunzo yatafanyika kwa awamu ambapo awamu ya kwanza ya mwaka 2023 Mafunzo  yataanza kutolewa kwa  vijiji 32 (10 VKB na 22 CSAP II) ambapo jumla ya wanufaika 2673 (1132 VKB na 1541 CSAP) watafikiwa.Vijiji  vimechaguliwa kwa kuangalia vigezo vya idadi kubwa ya wanufaika  ,fursa  za viwanda  vidogo vidogo vya kusindika alizeti na fursa za idadi ya wanunuzi.

Mkuu wa Idara Kilimo wa wilaya, Maafisa ughani na wakulima viongozi kutoka kwenye kila Kijiji husika wamehusika moja kwa moja katika mafunzo haya.Mafunzo hayo yamefanyika na yataendelea kufanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya.   

Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE November 12, 2023
  • TANGAZO MUHIMU KWA WATUMISHI WOTE November 10, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA KUPEWA FEDHA ZA MIRADI MBALI YA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA BAHI NA SERIKALI YA MHE.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANOWA TANZANIA DR.SAMIA SULUHU HASSAN. November 10, 2023
  • KAMATI YA WATAALAMU WA MAAFA YAZINDULIWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI (KAMATI TENDAJI YA MAAFA WILAYA). November 03, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI ATEMBELEA SHULE YA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA KIGWE NA KUWAPA CHAKULA PAMOJA NA KUTI VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI KIGWE

    November 25, 2023
  • Mhe. Godwin Gondwe Mkuu wa Wilaya Ya Bahi aipokea kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma na kuitembeza katika miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Wilaya ya Bahi.

    November 15, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA BAHI MHE.GODWIN GONDWE ATEMBELEA UTEKELEZI WA MRADI WA SHILINGI 144,000,000.

    November 07, 2023
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI ASISITIZA UMUHIMU WA KILIMO BORA KATIKA SEMINA YA MAFUNZO INAYOLEWA NA FARM AFRICA IKISHIRIKIANA NA WFP

    November 06, 2023
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma
  • Tovuti ya Ikulu

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 755 352 875

    Simu: +255 689 571 881

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa