• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TASAF Kuzifikia Kaya Milioni 1.4

Imechapishwa: July 30th, 2020

Na Benton Nollo, Bahi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) unatarajia kuzifikia kaya zaidi ya milioni 1.4 katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF III) Awamu ya Pili unaotarajia kuanza hivi karibuni.

Idadi hiyo ni ongezeko la kaya laki 3 ukilinganisha na kaya milioni 1.1 zilizokuwepo katika utekelezaji wa TASAF III Awamu ya Kwanza iliyomalizika.

Hayo yamesemwa na Mtaalam wa Utafiti kutoka TASAF, Tumpe Lukongo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutoa mafunzo kwa Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Wawezeshaji wa Ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kuhusiana na zoezi la uhakiki wa kaya maskini.

“TASAF III Awamu ya Kwanza ilifikia kaya kwa asilimia 70, sasa katika sasa katika awamu hii tunataka kuzifikia asilimia 30 zilizobaki.”Amesema Lukongo.

Alisema tathmini ya utekelezaji wa mpango uliopita inaonyesha kuwa dhamira ya Serikali ya kupunguza umaskini nchini imefikiwa.

“Takwimu zinaonyesha kwamba utekelezaji wa Mpango huo kwenye kipindi cha kwanza umechangia kupungua umaskini wa mahitaji ya msingi kwa kaya kwa asilimia 10 na kwa kaya maskini sana umaskini uliokithiri umepungua kwa asilimia 12”. Alieleza.

Lukongo alibainisha kuwa katika utekelezaji wa mpango huo awamu ya pili mkazo mkubwa utawekwa katika kuwezesha kaya zitakazoandikishwa kwenye mpango kufanya kazi ili kuongeza kipato.

“Kipindi hiki cha pili tutahakikisha huduma za jamii zinaongezwa na kuboreshwa ili kutoa huduma na kuendeleza rasilimali watoto hususan katika upatikanaji wa elimu na afya,”. Amesema Lukongo.

 Alisema TASAF III itatekelezwa katika Halmashauri zote 185 za Tanzania Bara na Wilaya zote za Zanzibar kwenye vijiji, mitaa, shehia pamoja na vijiji, mitaa na shehia ambazo hazikupata nafasi katika utekelezaji wa mpango huo uliopita.

Mwezeshaji wa Mafunzo kutoka TASAF, Grace Kibonde akitoa maelezo kuhusu Kipindi cha Pili cha Mpango wa TASAF III  kwa Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Wawezeshaji Ngazi ya Halmashauri tarehe 29 Julai 2020 kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

Mwezeshaji wa Mafunzo kutoka TASAF, Grace Kibonde (wa kwanza kushoto) akiwaelekeza washiriki wa Mafunzo namna ya kutumia Vishkwambi kwa ajili ya zoezi la uhakiki wa Walengwa wa Kaya Maskini katika Halmashaurinya Wilaya ya Bahi tarehe 29 Julai 2020. (Picha zote na Benton Nollo).








Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa