• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mfuko wa Jimbo Kusaidia Ujenzi wa Madarasa, Zahanati

Imechapishwa: January 28th, 2021

Na Benton Nollo na Bernard Magawa (DMC), Bahi

Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo (Mb) amesema ofisi yake kupitia fedha za mfuko wa Jimbo imejipanga kuhakikisha inasaidia mabati yote ya kuezekea vyumba 12 vya madarasa na zahanati tatu ambapo majengo hayo ujenzi wake unaendelea hivi sasa.

Nollo ameyasema hayo tarehe 28 Januari 2021 katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2020/2021 kilichoketi kwa mujibu wa sheria kujadili utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kipindi hicho.

“Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ya Mfuko wa Jimbo tumeona ni busara nasi tununue mabati yote ya vyumba 12 vya madarasa vinavyoendelea kujengwa ili kukamilisha haraka majengo hayo ambayo yatatoa fursa kwa watoto waliofaulu na kukosa nafasi za kujiunga na masomo ya sekondari nao wapate nafasi za kuanza masomo haraka iwezekanavyo, mabati hayo tumeyanunua kiwandani na yamegharimu shilingi milioni 25.” Amesema Nollo na kuongeza;

“Pia, Mheshimiwa Mwenyekiti, kama unavyofahamu Halmashauri yetu ina maeneo ambayo hayana zahanati, hivyo tumetoa shilingi milioni 10 kwa kila eneo, katika Zahanati tatu zinazoendelea kujengwa ambazo ni Nchinila, Nguji na Chikopelo.”

 Nollo amezitaja kata zitakazonufaika na mabati hayo kuwa ni Mpinga, Ilindi, Bahi, Chibelela na Mpamantwa.

Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo (Mb) akizungumza kwenye kikao hicho.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI. July 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • OFISI YA RAIS, MANAGEMENT YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA WATOA MAFUNZO YA UFANYAJI WA TATHIMINI (ASSESMENT) KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI.

    July 08, 2025
  • MHE. JOACHIM THOBIAS NYINGO AFANYA KIKAO CHA KUJADILI MIKAKATI MBALIMBALI YA MAENDELEO KUELEKEA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 KWA IDARA MBALIMBALI NA VITENGO BAADA YA KUPOKEA BILIONI 1.7.

    July 04, 2025
  • MKURUGENZI WA MRADI WA "TUINUKE PAMOJA" CHINI AGHAKAN FOUNDATION WAKISHIRIKIANA NA TGNP ATAMBULISHA MRADI HUO KATIKA MANEJINENTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI.

    July 03, 2025
  • UHAMISHO NA UTEUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI

    July 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa