• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mfumo wa GoTHOMIS Wazinduliwa Hospitali ya Wilaya ya Bahi

Imechapishwa: July 25th, 2021

Benton Nollo na Benard Magawa, Bahi

Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021, Luteni Josephine Mwambashi amezimezindua Mfumo madhubuti wa Usimamizi na Uendeshaji wa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya – GoTHOMIS katika Hospitali mpya ya Wilaya ya Bahi ambayo ujenzi wake uliaza rasmi mwaka 2019 ambayo tayariL imeanza kutoa huduma za afya kwa wananchi wilayani humo.

Luteni Mwambashi amezindua mfumo huo tarehe 25 Julai 2021 ambao lengo lake ni kurahisisha utoaji wa huduma za afya na kuboresha usimamizi katika ukusanyaji wa mapato hospitalini hapo.

Akizungumza baada ya kuzinduliwa kwa mradi huo wa mfumo wa kielekroniki katika hospitali hiyo ambayo inahudumia wananchi wapatao 271,071, Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda amesema hospitali hiyo ina vifaa vya kutosha kwa ajili ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo mitungi ya gesi kwa ajili ya kukabiliana ya dharura za magonjwa ya njia ya hewa.

“Ndugu Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, hospitali hii pia ina kitengo maalumu cha kutoa huduma kwa ajili ya waathirika wa dawa za kulevya na vimeundwa vikundi vya wanafunzi shuleni kwa ajili ya  kuelimisha wanafunzi wenzao juu ya madhara yatokanayo na matumizi ya dawa za kulevya.” Amesema Munkunda.

Naye, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Dkt. Phillipina Philipo akitoa taarifa juu ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi wilayani humo amesema hali ya maambukizi imeshuka ukilinganisha na mwaka 2020.

“Tunatoa huduma za ushauri na kupima (CTC) katika vituo vya afya 6 na Zahanati 11 wilayani hapa, ambapo maambukizi ya Virusi vya Ukimwi yamepungua kutoka asilimia 3.6 kwa mwaka 2020 na kufikia asilimia 2.1 kwa mwaka 2021, pia tunatoa huduma rafiki katika vituo 22 kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la UMATI.” Amesema Dkt. Phillipina.

Awali akisoma taarifa ya Mradi huo kwa Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Afisa TEHAMA na Mahusiano Wilaya ya Bahi, Benton Nollo amesema Mfumo huo ambao umefungwa katika majengo yote 7 ambayo yameanza kutoa huduma hospitalini hapo, umegharimu shilingi Milioni 42 hadi kukamilika kwake.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa