• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mfumo wa GoTHOMIS Wazinduliwa Hospitali ya Wilaya ya Bahi

Imechapishwa: July 25th, 2021

Benton Nollo na Benard Magawa, Bahi

Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2021, Luteni Josephine Mwambashi amezimezindua Mfumo madhubuti wa Usimamizi na Uendeshaji wa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya – GoTHOMIS katika Hospitali mpya ya Wilaya ya Bahi ambayo ujenzi wake uliaza rasmi mwaka 2019 ambayo tayariL imeanza kutoa huduma za afya kwa wananchi wilayani humo.

Luteni Mwambashi amezindua mfumo huo tarehe 25 Julai 2021 ambao lengo lake ni kurahisisha utoaji wa huduma za afya na kuboresha usimamizi katika ukusanyaji wa mapato hospitalini hapo.

Akizungumza baada ya kuzinduliwa kwa mradi huo wa mfumo wa kielekroniki katika hospitali hiyo ambayo inahudumia wananchi wapatao 271,071, Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda amesema hospitali hiyo ina vifaa vya kutosha kwa ajili ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo mitungi ya gesi kwa ajili ya kukabiliana ya dharura za magonjwa ya njia ya hewa.

“Ndugu Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, hospitali hii pia ina kitengo maalumu cha kutoa huduma kwa ajili ya waathirika wa dawa za kulevya na vimeundwa vikundi vya wanafunzi shuleni kwa ajili ya  kuelimisha wanafunzi wenzao juu ya madhara yatokanayo na matumizi ya dawa za kulevya.” Amesema Munkunda.

Naye, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Dkt. Phillipina Philipo akitoa taarifa juu ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi wilayani humo amesema hali ya maambukizi imeshuka ukilinganisha na mwaka 2020.

“Tunatoa huduma za ushauri na kupima (CTC) katika vituo vya afya 6 na Zahanati 11 wilayani hapa, ambapo maambukizi ya Virusi vya Ukimwi yamepungua kutoka asilimia 3.6 kwa mwaka 2020 na kufikia asilimia 2.1 kwa mwaka 2021, pia tunatoa huduma rafiki katika vituo 22 kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la UMATI.” Amesema Dkt. Phillipina.

Awali akisoma taarifa ya Mradi huo kwa Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Afisa TEHAMA na Mahusiano Wilaya ya Bahi, Benton Nollo amesema Mfumo huo ambao umefungwa katika majengo yote 7 ambayo yameanza kutoa huduma hospitalini hapo, umegharimu shilingi Milioni 42 hadi kukamilika kwake.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili March 25, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi February 01, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili November 18, 2021
  • Tangazo la Kikao cha Baraza la Madiwani Robo ya Kwanza ya Mwaka wa Fedha 2021/2022 October 27, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    April 26, 2022
  • Ndaki: Fugeni Kisasa Kuinua Pato la Taifa

    August 27, 2021
  • DC Munkunda Awaongoza Wananchi Kupata Chanjo ya UVIKO 19

    August 05, 2021
  • Mradi wa Maji wa Malipo ya Kabla Wazinduliwa Zanka

    July 25, 2021
  • Tazama Zote

Video

RC MAHENGE AZITAKA HALMASHAURI ZA JIJI LA DODOMA KUAINISHA FURSA ZA UWEKEZAJI.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma
  • Tovuti ya Ikulu

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 26 2961400

    Simu: +255 767 421 327

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa