• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mahenge Afanya Mazungumzo na Waziri Ntenge wa Uganda

Imechapishwa: June 6th, 2018

Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge Juni 06, 2018 amekutana na kufanya Mazungumzo na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Nchi ya Uganda Mhe. Monica Azuba Ntege Ofisini kwake Jijini Dodoma ambapo Waziri huyo amepongeza jitihada za Serikali ya Tanzania za Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya Umeme ya Mwendo Kasi - SGR.

Waziri Ntege amesema kuwa mradi huo wa Reli ya Kisasa ya Umeme inayojengwa na Serikali ya Tanzania ina umuhimu mkubwa kwenye shughuli za kiuchumi na usafirishaji wa mizigo ikitokea Bandari ya Dar es Salaam kuelekea ukanda wa Ziwa Victoria kupeleka mizigo hiyo nchini Uganda na kuwa inaweza pia kuhudumia nchi nyingine za jirani kama Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - DRC.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mhe. Monica Azuba Ntege (kulia) akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge (kushoto) wakati wa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili yaliyofanyika Jijini Dodoma Juni 06, 2018. Wengine ni Maafisa kutoka serikali ya uganda na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Pia, Waziri Ntege amepongeza ushirikiano mzuri uliopo baina ya Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania na Rais Yoweri Kaguta Museven wa Uganda na kusema kuwa ushirikiano huo utazinufaisha nchi hizi mbili kwenye nyanja mbalimbali za uchumi na maendeleo na kuongeza kuwa ipo haja ya Serikali yao ya Uganda kukaa na kuwafahamisha Wafanyabiashara wa Uganda namna watakavyonufaika na  Reli ya Kisasa ya Umeme ya Mwendo Kasi - SGR inayojengwa hapa Tanzania mara itakapokamilika ujenzi wake.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge amemfahamisha Waziri Ntege kuwa Jiografia ya Mkoa wa Dodoma kuwa katikati ya nchi inatoa urahisi wa kuzihudumia nchi za jirani kama Uganda, Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - DRC ukilinganisha na mikoa kama Dar es Salaam.

Dkt. Mahenge ameongeza kuwa miradi ya ujenzi inayotekelezwa na Serikali kama huo wa Reli ya Kisasa ya Umeme na Mradi wa Uwanja wa Ndege wa Kisasa wa Kimataifa wa Msalato ambao tayari Serikali inatarajia fedha za ujenzi wake zitatoka Benki ya Maendeleo ya Afrika na Mpango wa Mamlaka ya Bandari TPA kujenga Bandari Kavu Mkoani Dodoma. Alisema kwa pamoja miradi hii inazidi kuuongezea Mkoa wa Dodoma uwezo wa kuzihudumia nchi hizo za jirani kwa shughuli za kibiashara na uchumi. Tanzania na Uganda ni miongozi mwa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi. 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge (kushoto) akisisitiza jambo kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganda, Mhe. Monica Azuba Ntege (kulia) na ujumbe alioambatana nao wakati wa mazungumzo mafupi baina ya viongozi hao Juni 06, 2018 Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa