• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Watakaonunua Ardhi, Wenye Leseni za Madini Ujenzi Kuchangia Elimu

Imechapishwa: January 29th, 2021

Na Benton Nollo na Bernard Magawa (DMC), Bahi

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bahi limeazimia na kuweka utaratibu utakaowalazimu watu wote watakao nunua ardhi na wenye leseni za madini ya ujenzi katika wilaya hiyo kuchangia mapato ya ndani.

Azimio hilo limetolewa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika tarehe 29 Januari 2021 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Bahi ikiwa ni siku ya pili.

Wajumbe wa baraza hilo wameridhia kuwa katika Kata 22 za wilaya hiyo mtu yeyote atakayehitaji kununua ardhi sasa atatozwa shilingi 100,000/=, kwa ekari moja isipokuwa katika Kata ya Zanka na Mundemu ambapo wahusika watatozwa shilingi 200,000/= kwa ekari moja kila.

Wakati huo huo Baraza hilo limeazimia kwa wamiliki wa leseni za majini ujenzi (mchanga, mawe na kokoto) wao watatozwa shilingi 150,000/= kwa ekari moja kila mwaka.

Baraza hilo limeazimia kwamba fedha zote zitakazopatikana kutoka kwenye vyanzo hivyo zitaelekezwa moja kwa moja katika Mfuko wa Elimu wa Wilaya ya Bahi ili kuwawezesha watoto ambao wazazi wao wanakosa uwezo wa kuwaendeleza kimasomo na kusadia kuboresha huduma za elimu ikiwemo upatikanaji wa madawati na vyumba vya madarasa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika kikao hicho Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi wamesema kumekuwa na wimbi kubwa la uuzaji wa ardhi kiholela wilayani humo kwa kiasi kidogo cha fedha ambacho kiuhalisia haziwasaidii wamiliki wa maeneo hayo badala yake wanunuzi ndiyo wamekuwa wakipata faida kubwa kwani ardhi imekuwa ikipanda thamani kila siku.

“Kuanzia leo, mauziano ya ardhi katika wilaya yetu kwa kata 2 za Mundemu na Zanka mnunuzi atachangia shilingi 200,000/= kwa kila ekari moja atakayo nunua, na kwa kata nyingine zote 20 mnunuzi atachangia shilingi 100,000/= kwa kila ekari moja, na wote wanaomiliki leseni za madini ujenzi kama mchanga, kokoto na mawe katika maeneo yetu wao watachangia shilingi 150,000/= kila ekari kwa mwaka.”  Anasema Antony Lyamunda mujmbe na Diwani wa Kata ya Makanda.

“Mheshimiwa Mwenyekiti hivi sasa ardhi katika maeneo yetu ipo mbioni kuisha kutokana na ongezeko la watu na wimbi la uuzaji holela wa ardhi unaofanywa na wananchi wetu kwa sababu ya kutokujua thamani yake…hivyo kuna watu wanawalaghai na wanauza ardhi kwa bei ndogo sana ambapo hata kwa kufanya hivyo shida zao haziishi na wanaendelea kubaki masikini.” Anasema Mathayo Malilo, Diwani wa Kata ya Msisi.

 Azimio hilo limetolewa baada ya Afisa Mipango wa Wilaya ya Bahi, Charles Mduma kuwasilisha mapendekezo ya kuongeza vyanzo vya mapato katika wilaya hiyo lakini pia baada ya kuona wananchi wananyonywa na kubaki masikini wakati wanayo rasilimali muhimu inayoweza kuwanufaisha wananchi hususan katika kuimarisha Mfuko wa Elimu wa Wilaya ya Bahi ambao utawasaidia watoto wengi wahitaji wa elimu na hatimaye kuikwamua jamii ya Bahi kielimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa