• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Bahi Yapokea Vifaa vya Michezo Shule za Sekondari

Imechapishwa: August 27th, 2018

Na Benton Nollo

Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imepokea msaada wa vifaa vya michezo kwa ajili ya Shule za Sekondari 20 ambavyo vimetolewa na Kampuni ya Coca Cola tarehe 27 Agosti, 2018 ofisini kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo.

Kampuni hiyo imetoa jozi 40 za jezi na mipira 40 ambapo mipira 20 ni kwa ajili ya mpira wa miguu na mipira 20 ya mpira wa pete kupitia Mpango Kabambe wa kuinua michezo nchini Tanzania . Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya uongozi wa Kampuni hiyo Husna Hashimu alisema kuwa Kampuni ya Coca Cola imejipanga vema kushirikiana na Serikali katika kuinua na kukuza sekta ya michezo nchini na inaamini shuleni ndiko vilipo vipaji vingi vya michezo. 

Akishukuru kwa niaba ya Halmashauri Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Bernadetha January alisema kuwa vifaa hivyo ni mkombozi katika sekta ya michezo kwa shule za sekondari kwani vitawapa motisha wanafunzi kupenda na kushiriki michezo hali ambayo itakuza vipaji walivyonavyo na kuwasaidia wafanye vizuri zaidi katika masomo yao.     


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Bernadetha January (wa kwanza kushoto) akipokea mipira iliyotolewa na Kampuni ya Coca Cola na Mwakilishi wa Kampuni hiyo Husna Hashimu (wa kwanza kulia) kwa ajili ya Shule za Sekondari 20 ofisini kwake tarehe 27 Agosti, 2018. Katikati ni Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Bahi, Patrick Gwivaha. 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Bernadetha January (wa tatu kushoto) akipokea mipira iliyotolewa na Kampuni ya Coca Cola na Mwakilishi wa Kampuni hiyo Husna Hashimu (wa pili kulia) kwa ajili ya Shule za Sekondari 20 ofisini kwake tarehe 27 Agosti, 2018. Wa pili kushoto ni Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Bahi, Patrick Gwivaha, Afisa Michezo, Yasint Kyera (wa kwanza kushoto) na Afisa Utamaduni, Rachel Mwitula. Picha zote na Benton Nollo.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa