• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Bahi Ahamasisha Ushuru wa Majaruba

Imechapishwa: November 8th, 2018

Mkuu wa Wilayaya Bahi, Mwanahamisi Munkunda amewataka wakulima wa mpunga wa Skimu ya Bahi Sokoni kuchangia ushuru wa majaruba kama walivyokubaliana kwa lengo la kukarabati na kuendeleza miundombinu ya skimu hiyo. Munkunda aliyasema hayo wakati wa mkutano wake na wakulima hao uliofanyika uwanja wa Bahi Sokoni tarehe 08 Novemba, 2018.

Hatua hiyo ilikuja baada ya Munkunda kupokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakulima wa mpunga katika skimu hiyo, kuwa hawawezi kutoa ushuru huo kwa kuwa hawaoni faida kwani miundombinu haijaboreshwa.

Munkunda aliwataka wakulima hao kuheshimu makubaliano yaliyofikiwa na wao wenyewe kupitia vikao mbalimbali, ambayo ni kukusanya shilingi milioni 70 katika majaruba 3,500 ambapo ushuru kwa jaruba moja ni shilingi 20,000.00.

“Ndugu zangu nimekutana na ninyi leo kuwahamasisha mchangie ushuru wa shilingi 20,000.00 kwa jaruba kwani kwa taarifa zilizopo ofisini kwangu hivi ndivyo mlivyokubaliana. Hivyo, sioni kama ni jambo la busara kukiuka makubaliano wakati wa utekelezaji”. Alisema Munkunda.

Akifafanua mchanganuo wa ushuru huo wa shilingi 20,000.00 kwa jaruba katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Skimu ya Bahi Sokoni, Athuman Omar alieleza kuwa asilimia 50 inabaki kuhudumia skimu, asilimia 40 inakwenda Halmashauri na asilimia 10 inachukuliwa na Serikali ya Kijiji.

Mwenyekiti wa Skimu ya Bahi Sokoni, Athuman Omar akizungumza wakati wa mkutano huo.

Aidha, pamoja na mambo mengine wakulima hao katika kikao hicho walikubaliana kwamba kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2019 mgawanyo wa ushuru huo uwe kwamba asilimia 75 ibaki kwenye skimu, asilimia 15 iende Halmashauri na asilimia 10 ichukuliwe na Serikali ya Kijiji. Aidha, katika suala hilo Mkuu wa Wilaya alishauri kuwa mapendekezo hayo yapite kwenye vukao husika ili yapate ridhaa kwa ajili yautekelezaji.

 Skimu ya Bahi Sokoni ni miongoni mwa skimu tano zilizopo Kata ya Bahi zinazofanya vizuri kwa uzalishaji wa zao la mpunga.

Baadhi ya wakulima wa mpunga wa Skimu ya Bahi Sokoni wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda (hayupo pichani)  wakati wa mkutano alioufanya kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima hao tarehe 08 Novemba, 2018. 

aadhi ya wakulima wa mpunga wa Skimu ya Bahi Sokoni wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda (hayupo pichani)  wakati wa mkutano alioufanya kusikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima hao tarehe 08 Novemba, 2018. (Picha zote na Benton Nollo).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa