• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KATIBU TAWALA WA MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI.

Imechapishwa: September 17th, 2025

Leo Tarehe 17/09/2025 Mhe. Khatibu Malimi Kazungu Katibu tawala wa Mkoa wa Dodoma ametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Bahi kufanya utambulisho kwa watumishi wa Halmashauri na Taasisi mbalimbali.

Ziara hiyo ya Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma imehudhuriwa na Wakuu wa idara na Vitengo,wakuu wa Taasisi, Maafisa Ugani, Watendaji wa Kata pamoja na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi


 Ziara hiyo ya siku moja imefanyika katika ukumbimwa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

Aidha, Katika ziara hiyo Mhe.Katibu Malimi Kazungu ametoa maagizo yafuatayo kwa watumishi katika Wilaya hiyo: -

1.Watumishi wazingatie Dira ya 2050 katika utekelezaji wa Majukumu yao ya kila siku.


2.Watumishi kuzingatia sheria kanuni na taratibu katika utekelezaji wa majukumu yao.


3. Watumishi kuzingatia kwamba nchi inaongozwa kwa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


4.Lakini pia kuzingatia kwamba nchi imeridhia maazimio mbalimbali ya kimataifa (Sustainable Development Goals).


5.Kuwekeza katika kilimo cha korosho ili kuendelea kukuza Uchumi wa Mkoa wa Dodoma.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA MFUPI HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI August 23, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI September 04, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI. July 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA KATIBU TAWALA WA MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI.

    September 17, 2025
  • MAFUNZO YA MAADILI KWA VYAMA VYA SIASA .

    September 04, 2025
  • KIKAO KAZI CHA KUJADILI MPANGO KAZI WA NAMNA YA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA TSH. BILIONI 1,8200,000

    September 01, 2025
  • ADELA MATHIAS JACOBO KUCHUKUA FOMU YA UGOMBEA UBUNGE JIMBO LA BAHI KUPITIA CHAMA CHA DP.

    August 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • BAHI YOUTUBE CHANNELE
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa