• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

Imechapishwa: May 6th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Joachim Nyingo tarehe 06 Mei 2025 amekabidhi  vifaa vya Shure, Vitambaa , madaftari ,mashati ya shule zenye  thamani ya shilingi

Milioni tano laki tatu ishirini na nne na mia nane.(50,324,800)  Katika shule ya Bahi Sekondari Kwa wanafunzi wanaotoka kwenye familia duni.


Nyingo amekabidhi vifaa hivyo wakati akipokea  taarifa ya Mfumo wa Elimu  kwa Mwaka 2025,  shuleni hapo iliyosomwa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Bahi Annette Nara


DC Nyingo amempongeza Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Donald Mejiti ( MNEC) kwa kuendelea kusisitiza na kusimamia swala la Elimu, unahaki ya kupongezwa sana  kwenye Halmashauri yako imeweka utaratibu mzuri wa kutokumwacha mtoto  asiende shule mtoto ni tunu mpe elimu bora, naipongeza Halmashauri kwa kutekeleza ndoto ya Rais  Dkt.   Samia Suluhu Hassan ambaye ataki mwanafunzi aachwe nyuma kwa sababu elimu ni ufunguo wa maisha ,mshike sana elimu,mpende sana elimu ,mtumikie sana elimu ,mkumbatie sana elimu. Nawapongeza sana waalimu kwa ujumla wenu kwa kazi  nzuri na kubwa ambayo mnaifanya yakuendelea kuibeba elimu si tu kwenye Halmashauri yetu ya Wilaya ya Bahi bali Mkoa wetu wa Dodoma na Jamuhuri ya Muungano kwa ujumla, fedha zinazowekwa na serikali zinazoletwa na Dkt. Samia kwajili ya swala la elimu wenye dhamana ya kusimamia ni Halmashauri ikiongozwa na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya na Mkurugenzi lakini watekelezaji wa ile ndoto ya Mhe. Rais Samia ni waalimu ninawapongeza sana alisema  DC Nyingo.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri hiyo Zaina Mlawa amewapongeza wanafunzi wa Bahi Sekondari kwa usafi wa mazingira na sale za shule alisema uko mbele tunakondelea tutadumisha usafi wetu hata nyumbani, kipekee niwapongeze wazazi pamoja na waalimu kwa kuitikia wito wa kufika kwenye afla hiyo nyinyi tunawategemea sana ili tuweze kuibadilisha Bahi yetu kwa videndo kwamba Serikali imedhamiria, Halmashauri imedhamiria na viongozi wamedhamiria Bahi kuipeleka mbele Bahi ki elimu .



Sambamba na hilo Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Donald Mejiti ( MNEC) alisema kipaji akijui kama mzazi ana uwezo tukasema hivi vipaji vya watoto tusiviache vikapotea mtoto alizaliwa na kipaji amefaulu vizuri sisi kama Halmashauri tumsaidie mzazi wake ambaye bahati mbaya mazingira ya kiuchumi siyo mazuri nyinyi watu wa Bahi naendelea kusema wananchi wa Bahi watoto wetu wanaakili sana uwenda wewe ukujua hapo nyuma ulichukulia tu kawaida lakini watoto wetu wanaakili mwaka jana wilaya yetu ya Bahi kwenye Halmashauri 184 nchi nzima Halmashauri yetu ya Wilaya ya Bahi ilishika nafasi ya pili Tanzania nzima hili siyo jambo dogo wazazi wa Bahi alisema .


Naye Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Bahi Annette Nara akitoa taarifa ya Mfumo wa Elimu  kwa Mwaka 2025, Amesema kutokana na hali duni ya kiuchumi katika familia, baadhi ya wanafunzi huacha shule kwa sababu ya kukosa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na sare ,vifaa vya shule kama vile madaftari,kalamu pamoja na magodoro kwa wale waliochaguliwa kwenda shule za bweni.


"Divisheni ya Elimu Sekondari Bahi Annette Nara amesema Baraza la Madiwani liliona changamoto hii na kukubaliana kuanzisha mfuko wa kusaidia na kuboresha Elimu Bahi kwa Lengo la kunusuru wanafunzi hawa kwa mstakabali wa maisha bora kwa wananchi wetu, Mfuko huu wa kusaidia na kuboresha Elimu ulianzishwa rasmi Oktoba 2014  kwa lengo la mfuko ni kusaidia wanafunzi watokao kwenye familia duni watasomeshwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita.


Aidha,  Mfuko wa Elimu kwa Mwaka 2025 umefanikiwa kusaidia wanafunzi 982 (Wavulana 403 na Wasichana 579) kuendelea na masomo katika shule mbalimbali za Sekondari. Baraza la madiwani limeendelea kufanya Shule ya Sekondari ya Mudemu kuwa shule Maalumu ya Sayansi kwa kuchagua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa waliopata daraja A waliokosa nafasi za kwenda shule za bweni za Serikali, kwa kuzingatia ufaulu huo Baraza la Madiwani liliweka utaratibu wa kuchagua wanafunzi 120 (wavulana 60 na wasichana 60) kutoka Kata zote za Wilaya ya Bahi ili kujiunga na Shule ya Sekondari Mudemu.  Pia Halmashauri imekuwa ikipeleka kiasi cha Tsh1,500,000 kila mwezi ikiwa ruzuku ya chakula kwa Wanafunzi hao .


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • MAFUNZO YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELETRONIKI YAFANYIKA JIMBO LA BAHI

    May 14, 2025
  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa