• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Kitundu Ahamasisha Jamii kutumia Nishati Mbadala

Imechapishwa: June 5th, 2018

Na Benton Nollo, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

Mkuu wa Wilaya Bahi mkoani Dodoma, Mhe. Elizabeth S. Kitundu, amewataka viongozi kuihamasisha jamii kutumia nishati mbadala ili kulinda misitu na kuhifadhi mazingira.

Aidha, aliwataka wananchi kuepukana na matumizi ya mifuko ya plastiki ambayo inachafua mazingira kwa kiasi kikubwa. 

Mhe. Elizabeth, aliyasema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo kiwilaya yalifanyika katika Kijiji cha Mundemu Juni 05, 2018.
"Tatizo la uchafuzi wa mazingira bado ni kubwa hivyo, nawasihi sana wananchi  kuzingatia kutotupa hovyo takataka za plastiki ili kulinda afya za wananchi na wanyama, lakini pia pale kunapokuwa na uharibifu wa mazingira sheria zitumike kwa wanaokiuka", alisema Elizabeth. 

Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Elizabeth Kitundu (kushoto), akimsikiliza Salome Tarimo, alipotembelea shambani kwake kukagua miti mbalimbali ya matunda.

Kwa upande wake,  Afisa Ardhi, Maliasili na Mazingira, Chediel Mrutu, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, alikumbusha athari zitokanazo na mifuko ya plastiki ikiwa ni pamoja na pale inapozama ardhini hukaa zaidi ya miaka 100 bila kuoza, hivyo husababisha kuchafuka kwa ardhi.
"Kutokana na hali hiyo, ni  wakati muafaka sasa kwa wananchi wa Wilaya ya Bahi  kutunza mazingira na kusema hapana  kwa matumizi ya mifuko hii ili kuweza kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza kwenye mazingira tunayoishi hasa sehemu zote zile zinazokuwa kwa kasi kubwa,"alisema Mrutu. 

Afisa Ardhi, Maliasili na Mazingira, Chediel Mrutu, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bahi katika maadhimisho hayo.

Aidha, aliwataka viongozi wilayani humo kumchukulia hatua mtu yoyote atakayekutwa akichoma au kuuza mkaa hovyo kwa kumtoza faini au kumfikisha mahakamani kulingana na mujibu wa Sheria ya Usimamizi waMazingira Namba 20 ya mwaka 2004 na sheria ya Misitu Namba 14 ya mwaka 2002 kama zinavyoagiza.
Kauli mbiu ya Kimataifa ni "Pinga Uchafuzi wa Mazingira unaotokana na Plastiki" na Kauli mbiu ya Kitaifa katika maadhimisho hayo ni "Mkaa gharama, Tumia Nishati Mbadala".


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mundemu wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya hiyo (hayupo pichani). Picha zote na Benton Nollo.




Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA MFUPI HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI August 23, 2025
  • TANGAZO LA MWITO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO TAREHE 24/10/2025 October 24, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI ATANGAZA MIKOPO AWAMU YA NNE(4) KIASI CHA TSH.301,772,500/= October 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA NAFASI ZA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI October 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YAFANYA KIKAO CHA KUJADILI UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE JULAI-SEPTEMBA 2025.

    November 06, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA UCHAGUZI MKUU MWAKA 202

    October 26, 2025
  • MAFUNZO YA MAKARANI WA VITUO VYA UCHAGUZI

    October 25, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI NGAZI YA WILAYA KWENYE UKAGUZI WA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WALEMAVU.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • BAHI YOUTUBE CHANNELE
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • situs toto
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98