• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wananchi Watakiwa Kujihadhari na Mvua

Imechapishwa: January 2nd, 2020

Benton Nollo, Chifutuka

Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari ili kuepuka maafa yasiyo ya lazima katika kipindi hiki cha masika ambapo kuna mvua nyingi zinanyesha na kuleta athari ya uharibifu wa miundombinu mkoani humo.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge mara baada ya kutembelea miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Bahi mkoani Dodoma na kujionea athari za uharibifu zilizotokana na mvua hizo tarehe 02 Januari 2020.

“Viongozi waelezeni wananchi wasifanye mtihani wa kujaribu kuvuka katika makorongo wakati maji ni mengi yameweza kung’oa miti na kuondoa madaraja, hivyo tuwe waangalifu na tuchukue tahadhali katika kipindi hiki cha mvua zinazonyesha”. Amesema Dkt. Mahenge.

Aidha, Mahenge amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini - TARURA Mkoa wa Dodoma kuhakikisha ukarabati wa miundombinu hiyo unakamilika ndani ya siku 14 ili kurejesha huduma mbalimbali katika maeneo ya Tarafa za Bahi, Chipanga na Mwitikira ambapo baadhi ya miundombinu hiyo imeharibiwa na mvua hizo.

Kwa upande wake Meneja wa TARURA Wilaya ya Bahi, Mhandisi John Chalula amesema wilaya hiyo tayari imeshapata zaidi ya shilingi milioni 150 kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kukarabati miundombinu iliyoathirika wuilayani humo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwa uongozi wa wilaya kwa kushirikiana na uongozi wa mkoa huo watashikamana kwa pamoja ili ndani ya siku 14 alizozitoa huduma ya barabara kwa wananchi wa maeneo yaliyoadhiriwa ziendelee kama ilivyokuwa awali.

 Maeneo yaliyoathiriwa na kutembelewa na Mkuu wa Mkoa ni Daraja Mfuto la Kigwe, Mzizima, Chikola, Mtitaa na Magaga ambayo yapo katika Tarafa za Bahi, Mwitikira na Chipanga.

Picha na Matukio:

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akiwa pamoja na wataalam wa mkoa na viongozi wa Wilaya ya Bahi, katika ziara aliyoifanya tarehe 02 Januari 2020 wilayani humo ambapo alitembelea miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Pichani juu ni Daraja Mfuto la Kigwe.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akiwa pamoja na wataalam wa mkoa na viongozi wa Wilaya ya Bahi, katika ziara aliyoifanya tarehe 02 Januari 2020 wilayani humo ambapo alitembelea miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Pichani juu ni Boksi Kalavati la Mtitaa.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akiwa pamoja na wataalam wa mkoa na viongozi wa Wilaya ya Bahi, katika ziara aliyoifanya tarehe 02 Januari 2020 wilayani humo ambapo alitembelea miundombinu ya barabara na madaraja yaliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Pichani juu ni Boksi Kalavati la Chifutuka.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa