• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. Mganga: Changamoto si Kikwazo Kufikia Malengo

Imechapishwa: November 14th, 2019

Benton Nollo, Bahi

Watendaji wa Kata 22 na Watendaji wa Vijiji 59 wilayani Bahi wametakiwa kutotanguliza mbele changamoto, katika suala la ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Dkt. Fatuma Mganga wakati akifungua kikao kazi cha siku moja kilichowahusisha Watendaji hao na Wakuu wa Idara kwa lengo la kufanya tathmini ya makusanyo kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2019/2020 (Julai hadi Septemba, 2019).

Dkt. Mganga ameyasema hayo baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa ukusanyaji wa mapato kwani kwa kipindi hicho kila Mtendaji wa Kijiji alipaswa kuwa amefikia asilimia 25 au zaidi katika malengo ya makusanyo ya Kijiji husika kwa mwaka huo lakini ni vijiji 12 tu kati ya vijiji 59 ndivyo vimekusanya mapato yake kwa zaidi ya asilimia 25.

Dkt. Mganga alivitaja vijiji vilivyofanya vizuri kuwa ni Mapinduzi (62%), Chikola (34%), Chali Igongo (33%), Ibugule (33%), Chali Makulu (32), Nguji (31%), Kisima cha Ndege (29%) na Mindola (27%). Vijiji vingine ni Chimendeli (26%), Mpalanga (25%), Zejele (25%) na Bahi Makulu (25%).


Pia, Dkt. Mganga hakusita kuvitaja vijiji vilivyofanya vibaya katika ukusanyaji wa mapato kwa kipindi hicho kuwa ni Kigwe, Lukali, Nholi, Chidilo, Mphangwe, Mpamantwa, Ikumbulu na Babayu ambapo vyote kwa kila kimoja makusanyo yake ni chini ya asilimia 10.

"Afisa Utumishi nikuagiza Watendaji wa Vijiji 12 vilivyofanya vizuri wapatiwe barua za pongezi, Watendaji wa Vijiji ambao wamekusanya kwa asilimia 15 hadi 24 waelekezwe kwa barua kuongeza bidii katika ukusanyaji wa mapato na wenye asilimia 0 hadi 14 waandikie barua za kujieleza kwa nini wamekusanya chini ya kiwango ilhali malengo ya makusanyo yaliwekwa kwa kuwashirikisha na yaliafikiwa kwa pamoja kupitia vikao vyetu". Anaagiza Dkt. Mganga na kusisitiza kuwa barua hizo pia ziandikwe kwa mfumo huo huo kwa Watendaji wa Kata.

Aidha, Dkt. Mganga amewatahadharisha watumishi wanaojaribu kuhujumu mifumo mbalimbali iliyowekwa na Serikali kwa ajili ya kukusanya mapato kuwa hatasita kuwachukulia hatua za kinidhamu kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu.

Tathmini ya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na Vibali vya Mifugo na Mapato Mengineyo hufanyika kila robo mwaka kwa lengo la kujipima kufikia malengo ya mwaka mzima.

Picha na Matukio












Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa