• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dkt. Mganga: Walimu Imarisheni Vipindi vya Dini

Imechapishwa: February 17th, 2021

Benton Nollo na Bernard Magawa (DMC), Bahi

Wito umetolewa kwa Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Bahi kuhakikisha wanaimarisha elimu ya dini katika shule wanazofundisha ambapo kwa kufanya hivyo watasaidia kuwajenga watoto kiimani na kuwakabidhi kwa Mungu ili waweze kuwa na mafanikio katika masomo yao.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Dkt. Fatuma Mganga alipokuwa akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa elimu wilayani humo kilichofanyika tarehe 17 Februari 2021 katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

Amesema, elimu ya dini itawafanya wanafunzi kuwa na hofu ya Mungu, wasikivu darasani kitu ambacho kitawasaidia kuwa na maadili mema na watakuwa na uwezo wa kufaulu vizuri katika mitihani pamoja na kujiepusha na mimba za utotoni.

“Pamoja na kufundisha kwa bidii lazima tumuombe Mungu atusaidie, twendeni tukawalee watoto kitaaluma na kiroho, hakikisha mtoto anayekuja shuleni kwako bila dini anapata huduma hiyo kupitia madhehebu mbalimbali kwani tunaamini baraka zinatoka kwa Mungu, sasa kama watoto hawatakuwa na mahusiano mazuri na Mungu watasaidiwa na nani.” Amesema Dkt. Mganga.

Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Donald Mejiti akizungumza kuhusiana na kutokomeza tatizo la ujauzito shuleni amesema kumekuwepo na uzungushwaji wa kesi mimba katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye kata na kuagiza kuanzishwa kwa mtandao maalumu utakaowajumuisha viongozi wote pamoja na walimu ili linapotokea tatizo mahali basi viongozi wote wafahamu kila hatua za kesi hiyo.

 Awali, akitoa taarifa ya taaluma Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Bahi, Boniface Willison amewapongeza walimu pamoja na wadau mbalimbali kwa ushirikiano waliouonesha na kuifanya Halmashauri hiyo kuwa ya kwanza katika matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2020 kwa Mkoa wa Dodoma.

Pichani ni Wadau wa Elimu baada ya kikao cha wadau hao kufanyika tarehe 17 Februari 2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NOTISI YA KUVUNJWA KWA MABARAZA YA MADIWANI KATIKA MAMLAKA ZA WILAYA NA MIJI YATOLEWA NA MHE.MCHENGERWA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YATWAA TUZO YA UBINGWA

    June 15, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI NA KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa