• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Historia Inaandikwa, Magufuli Tena Dodoma

Imechapishwa: November 4th, 2020

Kesho tarehe 05 Novemba 2020 wakazi wa Mkoa wa Dodoma watashuhudia historia mpya ikiandikwa ambapo kwa mara ya kwanza tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961, sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika mkoani humo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge amesema maandalizi ya sherehe hizo ambazo wakazi wa Dodoma na Watanzania kwa ujumla watashuhudia kuapishwa kwa Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri yamekamilika.

Dkt. Mahenge amesema kuwa ni heshima kubwa kwa Mkoa wa Dodoma kupata fursa ya kushuhudia tukio hilo la kistoria ambalo hufanyika mara moja ndani ya miaka mitano na anaamini kuwa tukio hilo linatoa fursa kwa wafanya biashara kujipatia kipato ambapo uchumi ndani ya Mkoa wa Dodoma utainuka.

“Haya ni matunda makubwa ya uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuhamishia Makao Makuu ya Serikali mkoani Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa ndoto ya Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyoanza kuitekeleza mwaka 1973”. Amesema Dkt. Mahenge.

Amesema kuwa matukio makubwa kama haya yatakuwa yakifanyika mkoani Dodoma na kutoa fursa na hamasa kwa wawekezaji kama vile wa huduma za usafiri, hoteli, nyumba za kulala wageni, kumbi za burudani, mama lishe, machinga na wengine wengi kuwekeza zaidi Dodoma.

Hata hivyo, Dkt. Mahenge ametoa rai kwa wananchi wa Dodoma kutokua sehemu ya bugudha na usumbufu kwa wageni wanaokuja licha ya kuwa Dodoma ni sehemu yenye amani wakati wote hivyo amewataka kuimarisha na kudumisha sifa hiyo ikiwa ni pamoja na kuboresha viwango vya huduma na biashara zao.

“Sherehe hizi zitahudhuriwa na Marais na viongozi wa juu kutoka mataifa mbalimbali, viongozi wastaafu na wafanyabiashara wakubwa hivyo, tukiboresha huduma katika biashara zetu tutawavutia kurudi tena hata baada ya zoezi hili kuisha kwa ajili ya kutembea na kufanya uwekezaji mbalimbali”. Ameongeza Dkt. Mahenge.

Aidha, Dkt. Mahenge amesema kuwa sherehe hizo zitapambwa kwa burudani mbalimbali ikiwa ni pamoja na gwaride maalum lililoandaliwa na vikosi mbalimbali vya ulinzi vya Tanzania, vikundi vya ngoma, pamoja na wasanii wa kizazi kipya kama vile Harmonize, Zuchu, Nandy, Sholo Mwamba na Dulla Makabila.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amewakaribisha na kuwahimiza wananchi wote kuwahi kufika uwanjani mapema ili kuepuka usumbufu na kuongeza kuwa milango itakua wazi kuanzia saa 12 alfajiri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NOTISI YA KUVUNJWA KWA MABARAZA YA MADIWANI KATIKA MAMLAKA ZA WILAYA NA MIJI YATOLEWA NA MHE.MCHENGERWA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YATWAA TUZO YA UBINGWA

    June 15, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI NA KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa