• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MHE. JOACHIM THOBIAS NYINGO ATO MAAGIZO UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA WILAYA YA BAHI.

Imechapishwa: July 28th, 2025

Leo, Tarehe 28Julai,2025 Mnamo saa 02:00 asubuhi katika ukumbi wa Hospitali ya Wilaya ya Bahi Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mhe.Joachim Thobias Nyingo  akiambatana na Bi. Mwanamvua B. Muyongo Katibu Tawala Wilaya ya Bahi amefanya kikao Kazi na Mkurugenzi Mtendajii wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bi. Albina William Mtumbuka pamoja na timu ya wataalamu wa Halmashauri (wakuu wa Divisheni na Vitengo) ,Makatibu Tarafa,CHMT na viongozi wa Ulinzi na usalama ambapo katika kikao hicho Wakuu Divisheni na Vitengo waliwasilisha Mipango Kazi Yao kuelekea katika utekelezaji wa bajeti mpya ya  Mwaka mpya Wa fedha 2025/26.


Kupitia kikao Kazi hicho Mhe.Nyingo aliwaagiza viongozi hao kuhakikisha Miradi iliyopokea fedha na inayotekelezwa katika Wilaya ya Bahi kusimamiwa kwa ukaribu na kuepuka makosa madogo madogo ya kitaalamu ili iwe na tija kwa Wananchi. Pia,aliwaagiza viongozi wa ngazi  zote za Wilaya kuwa na ushirikiano katika kuhudumia Wananchi hasa pale yanapotokea majanga kama uvamizi wa wanyama pori katika vijiji kwani hiyo itarahisisha kupunguza madhali yanayoweza kusababishwa na wanyama hao.


Akienda mbali zaidi kwenye Utoaji huduma za Afya katika ngazi zote amewataka viongozi wa Afya kuhakikisha Wananchi wanapata huduma kama ambavyo muongozo ya Afya anavyoelekeza pamoja kufanya usimamiza WA karibu katika vituo vya Afya,zahanati na hospitali ya Wilaya huduma ziboreshwe ili kupunguza malalamiko kwa Wananchi.


Aidha, katika kikao hicho katibu Tawala wa Wilaya Bi.Mwanamvua B. Muyongo alipata nafasi ya kutoa neno ambapo alihimiza viongozi kuwa karibu na Wananchi wanaowahudumia Kwani Ndio wateja Wao Wa kila siku, hivyo wakiwa na mahusiano nao  mzauri katika utoaji hudumahata utendaji Kazi utakuwa Rahisi.


Baada ya kikao hicho kukamilika Mkurugenzi Mtendajii wa ya Wilaya ya Bahi Bi.Albina William Mtumbuka alipokea melekezo na kuahidi kuyafanyia Kazi yeye pamoja na timu yake ya wataalamu pamoja kuahidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa taasisi nyingine kwani Ndio umekuwa msingi waendeleo katika Wilaya hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA MFUPI HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI August 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WAOMBAJI WA TENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA UCHAGUZI MKUU WA 29 OKTABA,2025. AWAMU YA PILI October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WAOMBAJI WA TENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA UCHAGUZI MKUU WA 29 OKTABA,2025. October 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI September 04, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI NGAZI YA WILAYA KWENYE UKAGUZI WA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WALEMAVU.

    October 02, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (INEC) AWAPA NASAHA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BAHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 29,2025.

    September 24, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI (CMT) YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI NA OFISI YA MKUU WA WILAYA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA FEDHA ZA SERIKALI KUU, WAHISANI NA MAPATO YA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

    September 22, 2025
  • ZIARA YA KATIBU TAWALA WA MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI.

    September 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • BAHI YOUTUBE CHANNELE
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa