• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mahenge Awatembelea Wahanga wa Mvua ya Upepo Bahi

Imechapishwa: January 21st, 2020

Na Benton Nollo, Bahi

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa huo pamoja na Viongozi wa Wilaya ya Bahi, wamewatembelea na kuwajulia hali wananchi wa Vitongoji vya Bweseti na Chiwona vilivyopo katika Mji wa Bahi ambavyo vimeathiriwa na mafuriko na mvua yenye upepo mkali tarehe 15 Januari 2020. 

Dkt. Mahenge katika ziara yake hiyo aliyoifanya tarehe 21 Januari 2020, alichangia shilingi milioni 3 kwa ajili ya kugharamia mahitaji mbalimbali muhimu kwa wahanga.

"Nitumie fursa hii kuwaagiza wananchi wote kuhama katika eneo hili (Bweseti) ambalo kimsingi ni hatarishi kwa sababu ndipo Mto Bubu unapotapika maji yake...na nimeambiwa na viongozi wa Wilaya kuwa eneo hili awali halikuwa la makazi bali wakulima wa mpunga walilitumia kujenga vibanda wakati wa msimu wa kilimo lakini ninyi mmefanya makazi". Anasema Dkt. Mahenge na kuongeza;

Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi fanyeni maandalizi ya kuwahamisha wananchi hawa katika eneo hili na wapelekwe katika eneo lisilo na athari za mafuriko lakini pia naziagiza Halmashauri zote za Dodoma najua zipo katika maandalizi ya Bajeti, ziweke mpango wa ujenzi wa mabwawa mapya na hata kuyafufua yale yaliyojengwa wakati wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili kuvuna maji haya na kwa kufanya hivyo mafuriko yanaweza kupungua".

Pia, Dkt. Mahenge àmewasihi wananchi kutunza mazingira ili kuepuka athari zinazoletwa na mabadiliko ya tabia ya nchi.

"Ndugu zangu, haya yote yanatokea ni kwa sababu sisi binadamu tunaharibu mazingira yetu kwa kukata miti na kuchoma moto, mvua kubwa kama hizi zinaponyesha mkusanyiko wa maji unakuwa mkubwa na hatimaye huleta madhara". Anasema Mahenge.

Dkt. Mahenge amewataka wananchi wa Bahi pamoja na wahanga hao kuendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na hasa shughuli za kilimo kwa kuwa ndiyo msimu husika.

Kadhalika, amewasihi wananchi kuzitumia mvua hizo kulima mazao ya chakula na mazao ya biashara, kwamba hata kama mafuriko yametokea lakini bado wananchi wana jukumu la kuzalisha chakula cha kutosha na kuongeza kuwa baadaye hataruhusu maombi yoyote ya kupatiwa chakula na serikali kwa sababu ya njaa kwa kuwa mvua msimu huu zinanyesha kiwango cha kutosha kuzalisha chakula cha kutosha.

Picha za Matukio wakati wa ziara hiyo:

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge (wa pili kutoka kushoto) akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo pamoja na Viongozi wa Wilaya ya Bahi, wamewatembelea na kuwajulia hali wananchi wa Vitongoji vya Bweseti na Chiwona vilivyopo katika mji wa Bahi ambavyo vimeathirika na mafuriko na mvua yenye upepo mkali tarehe 21 Januari 2020.

Baadhi ya askari wa kikosi cha Jeshi la Akiba/Mgambo wilayani Bahi waliohusika katika kazi ya kujenga mahema kwa ajili ya kuandaa makazi ya muda ya wananchi waliokumbwa na mafuriko kwenye vitongoji vya Mji wa Bahi. Mahema hayo yametolewa na Shirika la Red Cross Tanzania kwa Kata za Chali na Bahi ambazo ndizo zilizoatiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa