• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waziri Mkuu Afanya Ziara Bahi

Imechapishwa: October 19th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) amefanya ziara ya kikazi ya siku moja kwa ajili ya kukagua ujenzi wa nyumba yenye uwezo wa kuishi walimu sita kwa mara moja katika Shule ya Sekondari Mpalanga, amezindua Daraja la Chipanga, ametembelea na kukagua ukarabati wa Kituo cha Afya Bahi, ameongea na Watumishi wa Wilaya ya Bahi pamoja na mktano wa hadhara katika Uwanja wa Bahi Sokoni tarehe 19 Oktoba, 2018.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa pili kushoto) akitembea kwa furaha juu ya Daraja la Chipanga lililojengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 2.18 muda mfupi kabla ya kulizindua rasmi tarehe 19 Oktoba, 2018. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda na wa kwanza kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Mhe. Omar Badwel (Mb). (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Daraja la Chipanga lililojengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 2.18 tarehe 19 Oktoba, 2018. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda, wa kwanza kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Mhe. Omar Badwel (Mb) wa pili kulia ni mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Rachel Chuwa na wa kwanza kulia ni Diwani wa Kata ya 

Chipanga, Mhe. Msafiri Mavunde. (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa tatu kutoka kushoto) akizindua rasmi Daraja la Chipanga lililojengwa na Serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 2.18 wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (Mb), Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda (mwenye kilemba cheusi), wa pili kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Mhe. Omar Badwel (Mb). (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa pili kutoka kushoto) akiwa katika chumba cha upasuaji kilichopo Kituo cha Afya Bahi wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. Wa kwanza kulia ni Mganga Mfawidhi wa Kituo hicho, Dkt. Kassim Kolowa. (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa pili kutoka kulia) akifuatilia na kusikiliza kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa kwake na Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Bahi, Dkt. Kassim Kolowa (wa kwanza kulia) kuhusu taa maalum iliyofungwa kwenye chumba cha upasuaji tayari kwa ajili ya kutoa huduma kwa wananchi wa kituo hicho wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mhe. Mwanahamisi Munkunda . (Picha na Benton Nollo).


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa kwanza kutoka kushoto) akifurahia jambo wakati akizungumza na moja ya akina mama waliofurahishwa na mpango wa Serikali wa kuboresha huduma za afya nchini hasa huduma ya mama na mtoto wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi katika Kituo cha Afya Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), (wa kwanza kutoka kushoto) akizungumza na wananchi waliokusanyika katika Kituo cha Afya Bahi  wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. (Picha na Benton Nollo).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), akiwasalimia wananchi wa Kijiji cha Mpalanga mara baada ya kukagua ujenzi wa nyumba ya walimu (yenye uwezo wa kuishi familia sita kwa mara moja) wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii wilayani Bahi tarehe 19 Oktoba, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa