Majukumu ya Jumla:
Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii, elimu na huduma za maji. Kamati hii pia itashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wanannchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri, kushawishi, kuzindua, kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kutathmini mipango yao ya maendeleo.
Majukumu Maalum ya Kamati:
WAJUMBE WA KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI (EAM) KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
NA. |
JINA KAMILI |
KATA |
WADHIFA |
1. |
MHE. DONALD S. MEJITI
|
DIWANI - LAMAITI
|
MWENYEKITI
|
2. |
MHE. DANFORD Y. CHISOMI
|
M/KITI WA H/W
|
MJUMBE
|
3. |
MHE. MUSSA LUMONDO
|
DIWANI - NONDWA
|
MJUMBE
|
4. |
MHE.YARED N. CHALULA
|
DIWANI - CHIBELELA
|
MJUMBE
|
5. |
MHE. RASHID HAMSINI
|
DIWANI - ILINDI
|
MJUMBE
|
6. |
MHE. MARKI K. MAZENGO
|
DIWANI - MAKANDA
|
MJUMBE
|
7. |
MHE. MSAFIRI MAVUNDE
|
DIWANI - CHIPANGA
|
MJUMBE
|
8. |
MHE. RAPHAEL M. KIMOLO
|
DIWANI - CHIKOLA
|
MJUMBE
|
9. |
MHE. BLANDINA MAGAWA
|
DIWANI - IBUGULE
|
MJUMBE
|
10. |
MHE. DOMINICA K. NYAU
|
VITI MAALUM -MUNDEMU
|
MJUMBE
|
11. |
MHE. ALLECIA S. KAMBWILI
|
VITI MAALUM - MWITIKIRA
|
MJUMBE
|
12. |
MHE. NESTA MSIGALA
|
VITI MAALUM - MWITIKIRA
|
MJUMBE
|
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
Anuani: S.L.P 2993 DODOMA
Simu: +255 26 2961400
Simu: +255 766 643 266
Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa