Kitengo cha Tehama na mahusiano ni miongoni mwa vitengo nyeti katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.Kitengo hiki ni kipya katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, kutokana na maboresho ya muundo wa Mamlaka za Serikali za Mitaa yaliyofanyika mwaka 2022. Kitengo hiki kinaundwa na na kada ya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano serikalini) pamoja.
Kitengo hiki kina majukumu makuu yafuatayo:
A. TEHAMA
B. HABARI na MAWASILIANO SERIKALINI
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
Anuani: S.L.P 2993 DODOMA
Simu: +255 755 352 875
Simu: +255 689 571 881
Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa