• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA BAHI MHE.GODWIN GONDWE AISHUKURU SERIKALI YA MHE.RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN KULETA KIASI CHA SHILINGI 2,516,200,000/= KWA AJILI YA UJENZI WA MADARASA 95 VYOO 84 KATIKA SHULE 23

Imechapishwa: February 9th, 2024

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya sita chini ya uongozi wa  Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha miundo mbinu ya elimu kote nchini kwa  kutoa fedha za ukarabati wa miundo mbinu chakavu lakini pia ujenzi wa miundo mbinu mipya katika Halmashauri mbalimbali hapa nchini Tanzania ikiwemo madarasa mapya pamoja na vyoo.


Halmshauri ya Wilaya ya Bahi ni miongoni mwa  almashauri  zinazonufaika na uboreshaji huo ambapo mwaka huu 2024 imepokea kiasi cha shilingi 2,516,200,000/= ikiwa ni kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 95 Pamoja na matundu ya vyoo  84 katika shule za sekondari 23 wilayani Bahi. Hii imesemwa katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya bahi kilichoitishwa na Mkuu wa  Wilaya ya Bahi Mhe.Godwin Gondwe akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halamashauri hiyo Bi.Zaina Mlawa na viongozi wa ngazi mbalimbali wialayani humo kwa ajili ya kuwapa taarifa wakuu wa shule za sekondari juu ya mapokezi ya fedha hizo ambazo lengo kuu ni kuimarisha miundombinu  ya madarasa katika sekta ya elimu ndani ya wilaya hiyo.

Mhe.Godwin Gondwe amewapa maelekezo wakuu wa shule hao kuhakikisha fedha hizo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa ikiwa ni pamoja na kusimamia mradi huo kutekelezwa katika ubora wa hali ya juu na kwa wakati katika kikao hicho Mhe.Godwin Gondwe kwa niamba ya uongozi mzima wa wilaya hiyo amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimbuka wilaya ya bahi na watu wake kwa kuendelea kuwaletea fedha za maendeleo kila mwaka wa fedha. Aidha amewasihi wanachi kumuunga mkono katika juhudi zake za kuiletea maendeleo wilaya hiyo ikiwa kuitunza miundo mbinu hiyo na kuhakikisha wanafunzi wanapelekwa shuleni kwa wakati.

WAJUMBE WALIOSHIRIKI KIKAO HICHO NI; -

1. Wakuu wa shule

2. Waratibu elimu Kata

3. Wenyeviti  wa Vijiji

4. Maafisa Elimu

5. Wakuu wa idara husika - Ujenzi,PMU,Elimu Sekondari na Maendeleo ya Jamii

7. Kamati ya ulinzi na usalama (W)

Wajumbe hao walioshiriki walipitishwa na Mhe.Godwin Gondwe Mkuu wa Wilaya ya Bahi katika mpangokazi wa ujenzi kuanzia Kazi za awali Hadi hatua ya umaliziaji wa mradi huo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa