• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Nollo Mbunge Bahi 2020 - 2025

Imechapishwa: October 29th, 2020

Na Benton Nollo, Bahi

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga leo tarehe 29 Oktoba, 2020 majira ya saa 03:30 asubuhi amemtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kenneth Ernest Nollo  kuwa mshindi wa kinyang'anyiro cha Ubunge wa Jimbo la Bahi.

Akitangaza matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari na wananchi wa Bahi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi leo, Dkt. Mganga amesema Nollo amepata kura 40,629 sawa na asilimia 98 ya kura halali (42,683) zilizohesabiwa akimshinda mpinzani wake kutoka Chama cha Wananchi – CUF, Godfrey Job Kamwe aliyepata kura 2,054 sawa na asilimia 2 ya kura halali zilizopigwa.

Aidha, Dkt. Mganga amesema katika uchaguzi huo, Wapiga kura walioandikishwa katika Jimbo la Bahi ni 121,169 ambapo idadi halisi ya waliopiga kura ni watu 44,623, kura halali zilikuwa 42,683 na kura zilizokatialiwa ni 1,940.

Kwa matokeo hayo, Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga amemtangaza Kenneth Ernest Nollo kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge na kumkabidhi cheti cha ushindi.

Baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi mbunge huyo mteule alitoa shukrani zake za dhati kwa wanabahi kwa kumuwezesha kupata ushindi huo mkubwa wa zaidi ya asilimia 98.

 Aidha, Nollo ametaja vipaumbele vyake kuwa ni kuboresha huduma za jamii ili wananchi washiriki kikamilifu katika kujiletea maendeleo.

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga akitangaza matokeo ya ubunge wa jimbo hilo kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020 mbele ya waandishi wa habari na wananchi waliojitokeza kushuhudia tukio hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.  

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga (kushoto) akimkabidhi Hati ya Kuchaguliwa Kuwa Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Ernest Nollo (kulia) baada ya kushinda kinyang'anyiro hicho kupitia Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020.

Mbunge Mteule Jimbo la Bahi, Kenneth Ernest Nollo kwa furaha akionesha kwa Waanshishi wa Habari na Wananchi Hati ya Kuchaguliwa Kuwa Mbunge wa Jimbo la Bahi baada ya kushinda kinyang'anyiro hicho kupitia Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020.

Mbunge Mteule wa Jimbo la Bahi kupitia Chama cha Mapinduzi - CCM, Kenneth Ernest Nollo (kulia) akipongezwa na Omary Makomba (kushoto) ambaye ni Wakala wa mgombea aliyeshindwa kinyang'anyiro hicho  kupitia Chama cha Wananchi - CUF, Godfrey Job Kamwe (hakuwepo eneo la tukio).  Anayeshuhudia katikati ni Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga.

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bahi, Dkt. Fatuma Mganga akizungumza mara baada ya kutangaza matokeo ya ubunge wa jimbo hilo kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda akizungumza mara baada ya tukio la kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Bahi, Kennth Nollo (hayupo pichani). (Picha zote na Benton Nollo).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa