• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali Yatumia Takribani Trilioni 3.5 Ujenzi Miundombinu Serikali za Mitaa

Imechapishwa: August 5th, 2020

Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ya Awamu ya Tano imetumia takribani shilingi trilioni 3.463 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya barabara katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.Selemani Jafo wakati wa kuelezea mafanikio katika sekta ya miundombinu ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya Siku ya TAMISEMI.

Amesema fedha hizo zikiwamo shilingi trilioni 1.03 zilizoelekezwa  kwa Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) na shilingi trililioni 1.98 ambazo ni fedha maalumu zilizotumika kujenga mtandao wa barabara za lami katika miji ya kimkakati, Manishaa na Halmashuri za Miji na Jiji la Dar es Salaam.

Amesema  hatua hiyo imesaidia kuongezeka kwa mtandano wa barara za lami kwa Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa urefu wa kilomita 699.5 ambayo ni asilimia asilimia 52 kutoka kilomita 1,325.49 mwaka 2015 hadi kufikia kilomita 2,024.99 mwaka 2020.

Amesema kwa upande wa barabara za changarawe kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa kulikuwa na barabara zenye urefu wa kilomita 22,089 na baada ya maboresho zimefikia urefu wa kilomita 24,193 ikiwa na ongezeko kwa asilimia 11 huku serikali ikiimarisha barabara za vumbi(udongo) na kufikia urefu wa kilomita 82,428 wakati madaraja makubwa yaliyojengwa ni 99.

“ Mtandao wa barabara zenye hali nzuri na wastani  umeongezeka kutoka kilomita 61,798.45 hadi kufikia kilomita 63,164.74 sawa na ongezeko la barabara zenye hali nzuri na wastani urefu wa kilomita 1,366.29, hii inafanya barabara zenye hali nzuri kutoka asilimilia 56 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 58 mwaka huu". Amesma Waziri Jafo na kuongeza;

“Hii inaonesha utashi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wa kuhakikisha wananchi wanatengenezewa mtandao wa barabara na hii imesaidia hata wakulima kuweza kusafarisha mazao yao, siku za nyuma watu walikuwa wanateseka sana, tunamshukuru Rais kwa kuwezesha hili".

Akifafanua zaidi anasema  mbali na barabara, lakini pia Serikali imewezesha ujenzi wa vituo vya mabasi vya kisasa 24, vituo vya malori, masoko ya kisasa  katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, madapo ya kisasa katika baadhi ya Miji.

Kuhusu  mradi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka katika Jiji la Dar es Salaam (DART), Mhe. Jafo  amesema ikiwa kazi za awamu ya pili ya mradi huo ikishika kasi, awamu ya kwanza imekuwa na mafanikio ya kuongeza abiria kutoka watu 75,000 kwa siku hadi kufikia abiria zaidi ya 200,000 kwa siku.

“ Bado tunaendelea na maandalizi ya kumtafuta mtoa huduma wa kudumu atakayekuwa na uwezo kutoa huduma ya mabasi 305 ikilinganishwa na mtoa huduma wa sasa ambaye ana uwezo wa kutoa huduma ya mabasi 140.” Amesema Waziri Jafo

Naye Meneja wa Mfuko wa Barabara,  Eliud Nyauhenga amesema  magari kuzidisha mzigo ni moja ya changamoto inayorudisha nyuma juhudi za serikali katika maendeleo ya sekta ya barabara.

“ Uzidishaji mizigo kwenye magari kinyume na matakwa ya sheria imekuwa ikichangia sana uharibidu wa barabara, mfano kwa sasa huko vijijini magari yanayokwenda kubeba mazao wamekuwa wakizidisha uzito jambo ambalo linaharibu miundombinu.” Anafafanua Nyauhenga.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC JOACHIM NYINGO AKABIDHI VIFAA VYA SHULE VYA MILIONI 5.3

    May 06, 2025
  • MWENGE WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI MOJA MILIONI MIA TANO KUMI NA SABA LAKI NANE ELFU MIASITA THEMANINI NA NANE NUKTA SITA.(TSH.1,517,414,684.63) KATIKA WILAYA YA BAHI.

    April 25, 2025
  • MKOA WA DODOMA WAPOKEA RASMI MWENGE WA UHURU 2025.

    April 20, 2025
  • KARUME DAY

    April 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa