• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

"Wasiolipia Viwanja Kunyang'anywa"

Imechapishwa: February 7th, 2019

Benton Nollo, Bahi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Dkt. Fatuma Mganga amewapa Ilani ya siku 30 wananchi wote waliopewa viwanja katika Mji wa Bahi “Kitalu J” kuhakikisha kuwa wanalipa fedha zote wanazodaiwa kabla siku hizo 30 kuisha yaani kuanzia tarehe 30 Januari, 2019 hadi tarehe 28 Februari, 2019.

Mganga ameitoa ilani hiyo ofisini kwake tarehe 07 Februari, 2019 na kusisitiza kwamba mpaka kufikia tarehe 28 Februari, 2019 yeyote ambaye atakuwa hajalipia kiwanja chake basi kiwanja hicho atapatiwa mtu mwingine bila taarifa na hatakuwa na haki tena juu ya kiwanja hicho.

“Napenda niwaarifu wananchi wote waliopatiwa viwanja katika Mji wa Bahi hasa “Kitalu J” kuwa ilani hii ni ya siku 30, hivyo ikifika tarehe 28 Februari mwaka huu (2019) mwananchi yeyote ambaye atakuwa bado hajalipia kiwanja anachodaiwa basi atambue kuwa kiwanja chake atapatiwa mtu mwingine tena bila yeye kutaarifiwa na hatakuwa na haki tena juu ya kiwanja hicho”. Alisema Mganga.

Mganga alifafanua kuwa wahusika wote watambue kwamba kwa wao kutolipia viwanja hivyo, wanaikosesha Serikali Mapato kwani kupitia mapato hayo Serikali inapata fursa ya kuboresha huduma mbalimbali kwa wananchi.

Aidha, katika Ilani hiyo Mganga amewataka wahusika wote kulipa maduhuli hayo kwa wakati na kabla ya kufanya hivyo wawasiliane na Ofisi ya Ardhi na Ofisi ya Mweka Hazina katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi ili wapatiwe bili ya malipo na kusisitiza kuwa malipo yote yanatakiwa kufanyika Benki na ofisi haitahusika na malipo yoyote ya fedha taslimu.

 Pamoja na Ilani hiyo, Mganga aliweka wazi orodha nzima ya wadaiwa hao na kuelekeza kuwa ibandikwe kwenye mbao za matangazo ikiwa inaainisha namba na ukubwa wa kiwanja kwa kila muhusika.

Kupata orodha na majina ya wadaiwa, Bofya hapa http://www.bahidc.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/orodha-ya-wasiolipia-viwanja-katika-mji-wa-bahi-kitalu-j-hii-hapa.pdf

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NOTISI YA KUVUNJWA KWA MABARAZA YA MADIWANI KATIKA MAMLAKA ZA WILAYA NA MIJI YATOLEWA NA MHE.MCHENGERWA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YATWAA TUZO YA UBINGWA

    June 15, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI NA KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa