• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
BAHI DISTRICT COUNCIL
BAHI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kazi na Moto
      • Afya
      • Maji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Teknolojia na Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Baraza la Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Utawala na Mpiango
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokubaliwa
    • Miradi Inayoendelea
      • TASAF
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Kazi
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbali Mbali
    • Miongozo Mbali Mbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video Mbali Mbali
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Watahiniwa 3,355 Kufanya Mtihani Darasa la Saba

Imechapishwa: October 6th, 2020

Na Benton Nollo, Bahi

Watahiniwa 3,355 wanatarajiwa kufanya Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2020 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Dkt. Fatuma Mganga ameyasema hayo ofisini kwake mapema leo tarehe 06 Oktoba 2020 na kwamba maandalizi yote yanayotakiwa kisheria yameshakamilika.

Dkt. Mganga amesema kwamba katika watahiniwa 3,355 wanaotarajiwa kufanya Mtihani huo Wavulani ni 1,520 sawa na asilimia 45 na Wasichana ni  1,835 sawa na asilimia 55 ya watahiniwa wote na tayari maandalizi ya msingi hususan usafiri wa kusambazaji mitihani pamoja na wasimamizi yamekamilika katika vituo vyote 72.

“Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania – NECTA, mtihani huo utaanza siku ya Jumatano tarehe 7 mwezi Oktoba, 2020 kuanzia saa 2.00 asubuhi kwa watahiniwa wote kufanya masomo ya Kiswahili , Hisabati na Sayansi na kukamilika siku ya Alhamisi tarehe 08 Oktoba, 2020 ambapo Watahiniwa hao watafanya masomo ya Lugha ya Kiingereza na Maarifa ya Jamii”. Amesema Dkt. Mganga.

Akizungumza kuhusu maandalizi ya Wanafunzi katika masomo, Dkt. Mganga amesema kwamba Wanafunzi wote wameendaliwa vizuri kimasomo ambapo mada zote zilifundishwa vizuri na kukamilishwa, na wamefanya majaribio ya kutosha pamoja na Mitihani mbalimbali ya ngazi ya Kata, Wilaya ukiwemo na Mtihani wa MOCK Mkoa, pia wamejengwa vizuri kisaikolojia na Walimu pamoja na Wazazi na kubainisha kuwa Watahiniwa wote wapo vizuri kwa ajili ya kufanya Mitihani huo.

Amewataka Watahiniwa hao kufanya mtihani huo katika hali ya utulivu na kutambua kwamba Mtihani huo wa Taifa ni sawa na Mitihani mingine na pia, amewatakia afya njema wakati wote na kuwaombea kwa Mungu awasaidie.

 Pamoja na hayo, Dkt. Mganga amewataka wasimamizi wote kusimamia vizuri mtihani huo kulingana na maelekezo na taratibu zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kupitia semina waliyopewa na hasa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu kwani vitasababisha wanafunzi kufutiwa matokeo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO May 07, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI May 02, 2025
  • Mikopo ya Hazina Kwa Watumishi wa Umma October 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (Limetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 8(1) February 20, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NOTISI YA KUVUNJWA KWA MABARAZA YA MADIWANI KATIKA MAMLAKA ZA WILAYA NA MIJI YATOLEWA NA MHE.MCHENGERWA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAHI YATWAA TUZO YA UBINGWA

    June 15, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI NA KUWA WABUNIFU

    May 23, 2025
  • MHE.KHADIJA SHABANI TAYA (KEISHA) ACHANGIA HUDUMA ZA AFYA KWA KUTOA MASHUKA 20 HOSPITALI YA WILAYA YA BAHI.

    May 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Jinsi ya kuomba uhamisho kwenye mfumo wa Utumishi
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tazama na Kudownload Orodha ya Walioitwa Kwenye Interview kwa Nafasi za Watendaji wa Vijiji Bahi
  • Matokeo Kidato cha Nne 2017
  • Tazama matokeo ya Darasa la saba 2019 ya shule zote za Bahi
  • Tazama na Kudownload vigezo vya Nafasi za Kazi kwa Watendaji wa Vijiji
  • Matokeo ya QT
  • 1: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2017
  • Vendor Form
  • 2: Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Kidato cha Pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • NECTA
  • Mfumo wa uhamisho kwa watumishi,Mikopo na Kupata Salary Slips
  • Utumishi
  • OR-TAMISEMI
  • Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Dodoma

Watembeleaji wa Nje

world map hits counter

Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

    Anuani: S.L.P 2993 DODOMA

    Simu: +255 762077589

    Simu: +255 762077589

    Barua Pepe: ded@bahidc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi. Haki Zote Zimehifadhiwa